SOKO LA KARUME KUTEKETEA KWA MOTO.
Posted in
No comments
Wednesday, June 11, 2014 By Unknown
Endelea kufuatilia kwelimc.blogspot.com kwa taarifa zaidi
Related posts
Share this post
Ikiwa moto bado ni mkali, unazidi kusambaa na sasa unaelekea Breweries. Usipodhibitiwa mapema utaleta athari kubwa sana. Hali bado ni tete, Fire walifika katika eneo la tukio na sasa wanaondoka bada ya kukubali kushindwa, hakuna wanachoweza kuokoa. Nguzo za umeme zinaungua pia. Kuna umati wa watu mkubwa, baadhi wanalia kwa uchungu wakiwa wamejishika kwa kukata tamaa. Chanzo kinadaiwa kuwa ni sehemu ya "Mama Ntilie" (ambao inasemekana huchemsha maharage na kuyaacha usiku ili yaive vizuri)
Endelea kufuatilia kwelimc.blogspot.com kwa taarifa zaidi
Related posts
Share this post
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Pellentesque volutpat volutpat nibh nec posuere. Donec auctor arcut pretium consequat.
PARTY 2:PRIVATE MESSAGE NYINGINE ZAIDI ZA PREZZO NA CHAGGA BARBIE
MAMA WEMA ASEMA YA MOYONI KUHUSU DIAMOND
ANGALIA VIDEO IKIMUONYESHA MTU HUYU WA AJABU AKILA MAWE KAMA CHAKULA CHAKE CHA KILA SIKU
MWANADADA RAY C AKANUSHA SKENDO YA KURUDIANA NA MWANABIG BROTHER MWISHO MWAMPAMBA
KIONGOZI MASHUHULI ASAKWA KWA USALITI NA RUSHWA NCHINI CHINA
CHIDI BENZI ft BOB JUNIOR - MAHABA NIUE.
ADAM MCHOMVU AFUNGUKA NA KUWATUPIA MBAYA WALE WOTE WALIOZUSHA JUU YA YEYE NA WENZAKE KUPIGWA CHINI CLOUDS
RIHANNA APEWA TUZO YA DESIRABLE WOMAN. « KWELI
UJUMBE KUTOKA KWA MSANII RAY C
SNURA AINGILIA KATI JUU YA UOMVI WA WEMA NA KAJALA
0 comments: