PICHA ZA MAANDALIZI YA VIDEO MPYA YA PROFESSOR J AKIWA NA DIAMOND PLATNAMZ - KIPI SIJASIKIA.
Posted in
No comments
Monday, July 14, 2014 By Unknown
Related posts
Share this post
Mwanzoni wakati zinasambaa picha za Diamond akiwa na Profesa Jay watu wengi tulikua tukijiuliza aina ya muziki ya muziki unaotaka kufanywa na wawili hawa ambao kwa hesabu ya haraka haraka tulishindwa kujua kama utakua muziki wa hip hop au wakuimba kama aufanyao Diamond.
Wimbo ulipotoka kila mtu alielewa kilichozungumzwa na Profesa Jay hasa upande wa mashairi akitoa ushuhuda wa maisha yake ambayo yameongelewa mengi mpaka hapo alipo kiasi cha kuuliza ‘Kipi Sijasikia’
Video yake imeanzwa kutengenezwa July 12 ikimhusisha pia Super Producer wa wimbo huu P.funk Majani ambaye kwa video hii kasimama kama wakili pamoja na Diamond Platnumz upande wa pili.
Video hii inaongozwa na Adam Juma kutoka Next Level,baadhi ya vipande wakati video hii ikifanywa ni hivi.
Picha: millardayo.
Related posts
Share this post
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Pellentesque volutpat volutpat nibh nec posuere. Donec auctor arcut pretium consequat.
UMBO LA MSANII MARYA KUTOKA KENYA LA TINGISHA NIGHT CLUB -POMBE NOMA
CHEGE & TEMBA ft MALOMBOSO - WAUWE
SIKILIZA HAPA WIMBO MPYA WA PROFESSOR J NA DIAMOND UNAOKWENDA KWA JINA LA KIPI SIJASIKIA
DIAMOND PLATNUMZ AENDELEA KUWAGALAGAZA WASANII WA AFRIKA KWENYE NOMINATIONS ZA KORA
Terrence J,Chaka Zulu na David Banner watoa madini kwa wasanii,wadau na waigizaji juu ya biashara ya sanaa.
AFANDE SELE KUACHIA WIMBO MPYA WA MIAKA 15 YA AFANDE SELE NA MIAKA 10 YA UFALME WA RYMES.
0 comments: