Discussion

...................................................

...................................................

...................................................

...................................................

kibongobongo mpango mzima

kibongobongo mpango mzima

ATUMIA ZAIDI YA MILLION 49 KUFANYA UPASUAJI ILI AFANANE NA KIM KARDASHIAN.

Posted in
No comments
Thursday, July 17, 2014 By Unknown

Kupenda ama kutamani kuwa kama star fulani unaemkubali hakuna sheria ya mipaka zaidi ya mwenyewe kuthibiti hisia zako zisipitilize, lakini wapo wengine ambao wamechoka kutamani kuwa kama fulani na wameamua kutumia nguvu kuwa kama yeye.
Claire Leeson, msichana mwenye umri wa miaka 24, mkaazi wa Landani ametumia zaidi ya $30,000 (Tsh 49,755000)kufanya upasuaji ili afanane na Kim Kardashian.

Claire ameiambia This Morning kuwa aliamua kufanya hivyo kwa sababu alipokuwa shuleni wenzake walikuwa wanamcheka na kuuita ‘mbaya’ kuliko kitu chochote kilicho hai.
“Nilikuwa naambiwa kila siku mimi ndiye mbaya kuliko kitu chochote kilicho hai na kwamba inabidi nijiue. Nilipoacha shule marafiki zangu waliniambia kuwa ninavitu ambavyo vinafanana na Kim Kardashian.” Amesema Claire.
Ameeleza kuwa baada ya kuambiwa hivyo na marafiki zake aliamua kuanza kuangalia kwa makini Keeping Up With The Kardashians na akagundua kuwa kweli kuna vitu ambavyo wanafanana na Kim Kardashian.
“Tunafanana katika mabishano na vitu vingine. Nikafikiri ni mzuri sana na kwa kweli nilitaka kufanana nae.”
Hata hivyo, msichana huyo ambaye kwa kiasi fulani zoezi hilo limemuweka katika madeni amesema anaona alichokifanya kinathamani ya fedha aliyotoa.

Related posts

0 comments:

About the Author

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Pellentesque volutpat volutpat nibh nec posuere. Donec auctor arcut pretium consequat.

Proudly Powered by Blogger.