Discussion

...................................................

...................................................

...................................................

...................................................

kibongobongo mpango mzima

kibongobongo mpango mzima

HII NDIYO KAULI YA WAZAZI WA WASICHANA WALIOTEKWA NYARA NCHINI NIGERIA

Posted in
No comments
Thursday, July 17, 2014 By Unknown

wazazi


Wazazi wa wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wamekanusha madai kuwa wanaingiza siasa kwenye kilio chao kuitaka serikali ya nchi hiyo iwaokoe watoto wao.
Hii ni baada ya wazazi hao kukataa wito wa kukutana na rais Goodluck Jonathan hapo jana baada ya kushinikizwa na mwanaharakati mdogo kutoka Pakistan Malal Yousafzai.
wazazi2
Rias Jonathan amesema ni aibu kubwa kwa wazazi hao kuruhusu kushinikizwa na mitandao ya kijamii hasa kutokana na kampeni yao kwenye mitandao yenye kauli mbiu, “Bring Back Our Girls”.
Lakini msemaji wa wazazi hao, amesema kuwa walikataa kukutana na Rais kwa sababu jamii ya watu wa Chibok haikuwa imewapa ruhusa kufanya hivyo.

Related posts

0 comments:

About the Author

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Pellentesque volutpat volutpat nibh nec posuere. Donec auctor arcut pretium consequat.

Proudly Powered by Blogger.