KUNGURU ALIYE ANGUKA TOKA ANGANI KISHA KUGEUKA MTU HUKO NIGERIA
Posted in
No comments
Sunday, December 29, 2013 By Unknown
Ni hali ya kushangaza, majira ya mchana huko Nigeria. Kunguru
alijikuta akiishiwa nguvu na kuanguka katikati ya mji na kisha
baada ya dakika chache kuanza kubadilika na kuwa mtu, mama
huyo alipoamka alionekana amechoka sana na baadhi ya eneo
kichani kwake kukossa nywele
Related posts
Share this post
0 comments: